• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Monday, July 23, 2012

    GLOBAL NEWS: PRANAB MUKHERJEE RAIS WA INDIA


    Aliyekuwa waziri wa fedha nchini India Pranab Mukherjee ndiye rais mpya wa taifa hilo. Mukherjee aliye na umri wa miaa 76 alipata ushindi huo baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika wiki iliopita.

    Rais huyo mpya anayejulikana kama mchapa  kazi, alijiunga na siasa za India miaka ya 69.  
    Mwezi uliopita Mukherjee alijiuzulu kama waziri wa fedha wa nchi hiyo baada ya kushikilia wadhifa huo kwa miaka mitatu. Alifanya hivyo ili aweze kuwania kiti hicho cha Urais. Rais alichaguliwa na Wabunge wa majimbo na taifa nchini India.     

    No comments:

    3500K