*Kikosi cha Kilimanjaro Stars.*
Timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imetinga robo fainali 
michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kuifunga Burundi bao 1-0 kwenye 
mchezo uliopigwa Uwanja wa Nakuru nchini Kenya muda mfupi uliopita. Bao 
pekee la Kilimanjaro Stars, limewekwa kimiani na mshambuliaji, Mbwana 
Samatta dakika ya 7 ya mchezo.
 
       
    
 
 
          
      
 
 
            
          
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment