hawa ni kwenye concert za chuoni hapo baaada ya kuwaona wakipafomu nyimbo ya Michael Jackson Smooth Criminal na nyimbo nyingine za msanii huyo na ndipo alipoanza kuwashauri waanza kufanya nyimbo zao wenyewe ila hawakuwa na jina kamili la kuliita kundi lao. Lakini wakiwa wanapafomu nyimbo yao ya kwanza inayoitwa They don kolo kwenye Club moja ya usiku huko MC wa siku hiyo hakupenda kuyataja majina yao yote wawili kila muda hivyo kwa vile wote majina yao yanaanza na P akatumia P square akimaanisha P'ETERE na P'aul na ndipo jina hilo lilipoanza kutumika rasmi mnamo mwanzoni mwa miaka ya 2000 na hapo ndipo alipoanza kazi za kutengeneza nyimbo na video za wasanii hao hadi hii leo amewafikisha hapo walipo.
hawa ni kwenye concert za chuoni hapo baaada ya kuwaona wakipafomu nyimbo ya Michael Jackson Smooth Criminal na nyimbo nyingine za msanii huyo na ndipo alipoanza kuwashauri waanza kufanya nyimbo zao wenyewe ila hawakuwa na jina kamili la kuliita kundi lao. Lakini wakiwa wanapafomu nyimbo yao ya kwanza inayoitwa They don kolo kwenye Club moja ya usiku huko MC wa siku hiyo hakupenda kuyataja majina yao yote wawili kila muda hivyo kwa vile wote majina yao yanaanza na P akatumia P square akimaanisha P'ETERE na P'aul na ndipo jina hilo lilipoanza kutumika rasmi mnamo mwanzoni mwa miaka ya 2000 na hapo ndipo alipoanza kazi za kutengeneza nyimbo na video za wasanii hao hadi hii leo amewafikisha hapo walipo.
No comments:
Post a Comment