• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, December 5, 2013

    NISHA ALIA NA WAANDISHI WANAOMWANDIKA VIBAYA MTANDAONI, HIKI NDO ALICHOKISEMA KUPITIA INSTAGRAM


    Msanii wa filamu Bongo, mwanadada Nisha ameandika kwa uchungu kupitia ukurasa wake wa Instagram kuhusu habari zilizo andikwa kuhusiana nae amabazo mwenyewe anadai hakusema na si za kweli. Nisha amepost picha ya mtandao anaodai umeandika habari hizo na kuandika ujembe wakukanusha na sikitishwa kwake na habari hizo. Jisomeee......... Instagram oyeeeeee. *CREDIT : JESTINA GEORGE *

    No comments:

    3500K