• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, December 3, 2013

    Mazoezini Rasmi 'JUMA KASEJA' Ndani Ya Club Ya Yanga

    Moja wa makipa mahiri nchini Tanzania Juma Kaseja, ameingia kambini rasmi na timu yake mpya rasmi ya Yanga maarufu kama watoto wa jangwani. Juma Kaseja amabaye amejiunga na timu hiyo ya Jangwani kwenye dirisha dogo la usajili akitokea katika timu ambayo ni wapinzani wakubwa wa timu hiyo ya Jangwani wajulikanao kama wekundu wa msimbazi Simba. Yanga ambayo ipo kitka wiki ya pili ya Tizi ikiwa inajiandaa na maandalizi ya mzungoko wa pili wa ligi kuu Tanzania bara, pamoja na michuano ya club bingwa Africa.

    No comments:

    3500K