• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Monday, December 9, 2013

    LEO NI SIKU YA MAOMBI AFRIKA KUSINI KUMKUMBUKA MANDELA

    *Binti akiwa na mshumaa wakati wa ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Regina Mundi lililopo Soweto, Afrika Kusini leo.* *Waumini wakiwa katika ibada ya maombi ya kumkumbuka Nelson Mandela katika kanisa la Methodist mjini Johannesburg leo. (Picha na Reuters)* *Wananchi wa Afrika Kusini leo wanashirki maombi ya kitaifa ya kumkumbuka marehemu Nelson Mandela.* *Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma atahudhuria maombi hayo katika kanisa la Methodist mjini Johannesburg, wakishirikiana na viongozi wengine kutoka dini mbalimbali kwa maombi yatakayofanyika siku nzima leo.

    No comments:

    3500K