Mtandao wa Ghafla Kenya uliripoti siku kadhaa zilizopita kwamba video ya P
Unit na Collo – ‘U guy’ imefungiwa na kituo maarufu cha TV nchini Kenya
(Citizen) kutokana na kuwa na picha zinazochochea ngono na ambazo hazifai
kwa kituo kama hicho, huyu ndio mrembo ambae inaaminika amesababisha hiyo
video kufungiwa.
To the extent possible under law,
Filex Mmari
has waived all copyright and related or neighboring rights to
blog.
This work is published from:
Tanzania, United Republic of.
No comments:
Post a Comment