• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, January 10, 2013

    Huyu ndio Video Qeen Aliye Sababisha Video Mpya ya P-unit "U guy'" Kupigwa Marufuku Kwenye Citizen TV



    Mtandao wa Ghafla Kenya uliripoti siku kadhaa zilizopita kwamba video ya P Unit na Collo – ‘U guy’ imefungiwa na kituo maarufu cha TV nchini Kenya (Citizen) kutokana na kuwa na picha zinazochochea ngono na ambazo hazifai kwa kituo kama hicho, huyu ndio mrembo ambae inaaminika amesababisha hiyo video kufungiwa.

    No comments:

    3500K