• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, December 19, 2012

    Lucy Komba"Kuwa Msanii Mzuri si lazima Utoe Skendo Magazetini na Kupiga Picha za Uchi"



    MSANII aliyewahi kufanya vizuri kwenye filamu za kibongo *Lucy Komba*, ambaye kwa sasa yupo nchini *Denmark *kikazi, amesema kuwa anawashangaa watu wanaodhani kuwa msanii mzuri ni kuuza sura kwenye magazeti au kuwa na kashfa na skendo. Kauli ya msanii huyo ameitoa ukurasa wake wa mtandao kijamii wa Facebook baada ya kuwaonesha mashabiki wake picha aliyopiga akiwa na mcheza zoka maarufu *Michael Essien* nchini Ghana.

    No comments:

    3500K