• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Monday, December 17, 2012

    LORD EYES KUZINDUA NGOMA YAKE MPYA,NA PIA SIKU HIYO KUTAFANYIKA UZINDUZI WA DVD YA BUM KUBAM NA SHOO YA WEUSI


    G warawara anayewakilisha kundi la N2N Soldier amesema kuwa tarehe 23 mwezi huu msanii mwenzake wa kundi hilo Lord Eyes atazindua ngoma yake mpya pande za Maisha Club.Pia DVD ya wimbo wa Niki Wa Pili Bum Kubam itazinduliwa rasmi siku hiyo, na zaidi na zaidi siku hiyo kundi la WEUSI watafanya shoo ya kufunga mwaka.Kundi la Weusi linaundwa na Bonta, Joh Makini, G Wara Wara, Lord Eyes na Niki Wa pili.Kiingilio itakuwa ni kitu cha buku 10 tu.

    No comments:

    3500K