• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, October 9, 2012

    EPL NEWS: RVP KUTOADHIBIWA NA FA


    Mshambuliaji wa Timu ya Manchester United, Robin Van Persie hatoweza kukabiliwa na adahabu kutoka kwa Chama cha Soka nchini England kufuatia kumtandika kiwiko mchezaji wa  Newcastle Mfaransa Yohan Cabaye.
    Kocha wa The Magpies, Alan Pardew alimtuhumu Van Persie kufanya kosa dhidi ya Cabaye na kuitaka FA imshughulike.
    Hii inatokana na mwamuzi wa mchezo huo Howard Webb kuliangalia kosa hilo na kutolichukulia hatua yoyote ile.
    Pia FA  imetupilia mbali mipango yake ya kutaka kumpa hukumu Cheikh Tiote dhidi ya Tom Cleverly

    No comments:

    3500K