• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, October 9, 2012

    BUNDESLIGA NEWS: BLASZCZYKOWISKI KUIKOSA REAL MADRID


    Klabu ya Borrusia Dortmund itakosa huduma ya kiungo wake  Jakub Blaszczykowski katika Klabu bingwa barani Ulaya juma lijalo dhidi ya Real Madrid  baada ya kuumia kifundo cha mguu katika mechi ya mwishoni mwa juma nchini Ujerumani.
    Taarifa ya mtandao wa klabu hiyo imesema itakosa huduma ya kiungo huyo kufuatia mechi waliyotoka sare ya 1-1 dhidi ya Hannover 96.
    Pia imesema atakosa mechi ya Poland kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil jumanne itakayofuata.
    You might also like:

    No comments:

    3500K