• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Saturday, June 9, 2012

    TANZANIA SOCIAL NEWZ: WAISLAMU WAANDAMANA

    Waislamu waliandamana huku wakiwa na mabango yenye kutaka watendewe haki ambapo wamelaani vikali baraza hilo la mitihani na wamelitaka lijiuzulu. Mapema jeshi la lilikuwa limepiga marufuku maandamano hayo ya Waislamu. Siku chache zilizopita pia, Mufti wa Tanzania, Sheikh Issa bin Shaaban Simba kupitia Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA alimtaka Katibu Mkuu wa NECTA, Dk Ndalichako ajiuzulu kufuatia kashfa hiyo ya kuhujumiwa matokeo ya mitihani ya wanafunzi Waislamu.

    No comments:

    3500K