• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Saturday, June 9, 2012

    EURO 2012 NEWS: POLAND YATOKA SARE, SZCZESNY ATOLEWA KWA KADI NYEKUNDU

     ROBERT LEWANDOWISKI
     DIMITRIOS SALPINGIDIS
     TYTON





    Baada ya ngoja ngoja ya muda mrefu hatimaye pazia la kinyang'anyiro cha kombe la mataifa ya bara la Ulaya limefunguliwa na Mwenyeji wa Michuano ya Mataifa ya Ulaya Poland akitoka sare ya 1-1 katika mechi ya ufunguzi ya michuano hiyo na Ugiriki.

    Mechi hiyo ya Ufunguzi ilikuwa ngumu kwa pande zote kukishuhudiwa kosa kosa za kila timu . Ugiriki walipata penati lakini Mlinda Mlango Tyton aliyeingia mbadala wa Szczesny. Mabao yalifungwa na  Scoring Summary

    Poland
    Greece
    Giorgos Karagounis (pen miss 71')

    No comments:

    3500K