• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, June 20, 2012

    MWANAMAMA APATA KICHAPO KWA KUDAIWA KUKWAPUA SIMU



     Mwanamke ambae jina lake halikuweza kufaamika alijikuta akiambulia kipigo kutoka kwa wananchi baada ya kutuhumiwa kumchomolea mama mmoja simu ya kokononi maeneo ya mtaa wa Kongo jijini Dar es salaam.

                                      Hapa akichukua kichapo kutoka kwa wanchi wenye hasira kali
    .
    Hapa akikimbia baada ya kichapo kilichomtia adabu

    No comments:

    3500K