• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, June 20, 2012

    KISHOKA WA TANESCO ANASWA KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM


     Mtuhumiwa wa kuunganisha umeme kinyemela (KISHOKA)kwenye majengo ya kariakoo jijini Dar es salaa leo ambaye jina lake halikufahamika akishikiliwa na askari wa  jeshi la polisi baada ya Shirika la umeme Tanesco kuendesha operesheni ya kukamata wanaoiba umeme kwenye mkoa wa Dar es salaam manispaa ya  Ilala
    Fundi kutokaShirika la kuzalisha umeme Tanesco Bi.Fadha Wiliamu  akiangalia mita zilizounganishwa kwa njia ya wizi katika majengo hayo

    No comments:

    3500K