Hivi
karibuni baada ya kutokelezea na kipindi cha Take one cha clouds Tv
akionesha nyumba yake mpya aliyonunua kwa zaidi ya Tsh. milioni 400
kijitonyama huku akiendelea na kutuonesha baadhi ya magari yake
anayomiliki sasa hali imegeuka na kuwa ggumzo hapa Tanzania. Baada ya
kuonesha baadhi ya vitu vilivyomo ndani humo na kudai kuwa nyuma hiyo ni
yake na ameitengeneza kwa pesa zake, kimeibuka kisanga kingine baada ya
kuibuka kwa
wapambe na mmiliki wa nyumba hiyo ambaye ni Mama mtu
mzima na kuweka wazi kuwa nyumba hiyo si ya Wema bali amepangishiwa na
amelipiwa kiasi cha miezi sita na mtu aliyedaiwa kuwa ni mpenzi wake na
pia bado anadaiwa kiasi kingine cha miezi sita. Na hii kama itakuwa ni
kweli basi hawa wanaojiita mastaa wetu wa Bongo hawatakuwa na la maana
zaidi ya kujidharirisha,kama kitu si chako kwanini usiweke wazi!!.
Tuesday, June 19, 2012
Home
Unlabelled
KAMA HII NI KWELI,WEMA SEPETU ANAJIAIBISHA SASA!!
No comments:
Post a Comment