MSANII wa muziki Tanzania maarufu kama  *Amazon*,
 ameamua kuweka wazi kuwa amejitoa *Mtanashati Entertainment*, kwa kile 
alichodai kuwa boss wa kundi hilo* Ustadhi Juma na Musoma*, alikuwa anataka 
kumpa mkataba wa milele, kitu ambacho kimemfanya *Amazon* aone ni lengo la 
kummaliza kimuziki.
source-dartalk
 
       
    
 
 
          
      
 
 
            
          
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment