picha hizi zote zinatoka diamond webite
| Petit Man & Shadee waliliongoza Red Carpet.... |
| Makomando |
| Shetta akiingia kwenye Red Carpet |
| Akizitambulisha T-shert zake aina tofautitofauti... |
| Akiitambulisha Website yake... www.shettamusic.com |
| Nicheck Bbm kumbe Mbulula... |
| H.K Akifanya yake sasa |
| Mtoto Mzuri Shilole akiwa amekamatiliwa kisawasawa na mmoja ya Shabiki wake... |
| Mmmh! Wakubwa wanafaidi sana LOL! |
| Chezea Shilole weyee! |
|
| Suma Mnazaleti... |
| Young D |
| Stereo |
| Nyandu Tozi |
| Pasha |
| Makomando |
| Tym ya Kibega sasa... |
| Mmoja ya Mwanadada aliyeshindwa kuvumilia na kujitosa kwa Ferooz wakati akiperform wimbo wa Ndege Tunduni... |
| Nay wa Mitego |
| Zimepanda anamwaga Radhi....LOL! |
| Msanii mpya toka Tht |
| No Comment |
| Team Shetta |
| Shetta akiwakonga nyoyo Mashabiki wake kwenye usiku wa Bonge la Bwana |
Diamond Ashinda tunzo ya Msanii Bora wa kiume 2012 Nzumari Awards Kenya
| Nikitoa shukrani kwa mashabiki wangu kwa kuniwezesha kutwaa Tunzo hiyo baada ya kupokea |
| Hapa nikifurahishwa na kustaajabu jinsi wanamombasa walivyoiitikia na kuishangilia Nataka Kulewa nilipojaribu kuiimba Chorous...... |
| Nikifanya interview na KTN moja TV Station kubwa sana Kenya, baada ya kupokea tunzo |
| Nikiwa na Mh Suleiman Shahbal Governor mtarajiwa wa nchini Kenya |
| Huyu ndio Best Presenter of the year, Mzazi William Tuva toka Citizen Tv an Radio Kenya... moja ya Mapresenter ambao wanaunyanyua sana mziki wa bongo flavor Africa |
| Na mwanangu "Kigeugeu" Jaguar.... naye ni mmoja ya wasanii ambao walipokea tunzo kwenye ghafla hiyo |
| Mnh! Moze iyobo tena..... ni kujiongeza tu |
| mnh! kunambi tena..... |
| Brian Zungu toka I-View Media akiwa na Jaguar |
| Redcarpetin kulikua hivi sasa |


No comments:
Post a Comment