Kupitia
katika website ya msanii huyu namzungumzia Lady gaga A.k.A Mother
monster kutoka pande za state ali post katika mtandano wake na kuweka
picha hii na kusema kwamba amepiga new tatoo ambazo tatoo hizo kwa hapa
bongo zinafahamika kwa jina la Nanga.
Wednesday, September 5, 2012
<<
Winfrida Dominic Stunning in Sheria Ngowi Designs
TANZANIA WASHIKA NAFASI YA PILI NA YA NNE KATIKA FANALI ZA NOKIA
>>
Home
No comments:
Post a Comment