
 
Habari ambazo zimesambaa mtaani hasa maeneo ya Kariakoo Jijini Dar es 
salaam, zinamhusu msanii wa muziki wa kizazi Ali Kiba, inasemekana 
kwamba Hivi karibuni Familia yake inayoishi Kariakoo karibu na Club ya 
Soccer ya YANGA, eti walivamiwa na Majambazi/ Wauaji huku wakiwa na 
Silaha za Moto/ Bunduki, sasa inasemekana mpaka sasa hivi kuna mwanamke 
amekamatwa akihusishwa na Tukio hilo na inasemakana kwamba Jeshi la 
Polisi lilipo Jaribu kumhoji Mwanamke huyo akajibu kuwa eti wametumwa na
 Msanii Khalid Mohammed/ TID eti wakamuue Ali Kiba, Mwanamke huyo 
anashikiliwa na Polisi na Leo TID ameitwa Polisi kwa mahojiano zaidi, 
Gazeti la Makorokocho lilipojaribu kuongea na Pande zote Mbili TID na 
Ali Kiba, Tid alijibu yeye hajui chochote na anashangaa kuhusishwa na 
Tukio hilo ukizingatia yeye hana beef yoyote na Ali Kiba, na Upande wa 
Ali Kiba ulipovutiwa wire wakasema muda ukifika ndio watatoa Taarifa 
rasmi kwa umma.
skiza hapo chini You Heard ya Leo Gossip Cop alivyopiga nao story ndani 
ya XXL ya Clouds fm:
 
No comments:
Post a Comment