• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, July 11, 2017

    Jina Jayden K Smith Latumika Kusambaza Meseji Feki ya Udukuzi

    WATUMAJI wa mtandao wa kijamii wa Facebook wamekuwa wakibabaishwa na meseji yenye ujumbe feki inayowaonya wasipokee maombi ya urafiki kutoka kwenye akaunti inayoitwa* Jayden K Smith*. Meseji hiyo inayopitia Facebook Messenger, inaonya kwamba akaunti hiyo ni ya mdukuaji wa mitandao “aliyeunganisha mfumo huo na akaunti yako ya Facebook”. Wanaotilia maanani meseji hiyo, wanaisambaza kwa watu wengine, lakini kutokana na meseji nyingi za Facebook, meseji hiyo ni ya uongo. Hakuna ushahidi unaoonyesha akaunti yenye jina la *Jayden K Smith* kusambaa kwa watumiaji,

    No comments:

    3500K