• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, September 7, 2016

    Pesa Zinawatia Uchizi Wadada hawa,


    DANI ya tasnia ya burudani Bongo, kwa sasa imevamiwa na wingi wa wasanii, wauza sura na wanamitindo wapya ambao wamejipatia umaarufu ndani ya muda mfupi hasa kutokana na kukua kwa kasi kwa mitandao ya kijamii. Wakiitumia mitandao hiyo kujitangaza, wamekuwa hawalali kwani ‘njaa’ yao kubwa ni mkwanja, tofauti na wadada wa kipindi cha nyuma ambao walitaka sana umaarufu, huku pesa ikiwa ni chaguo namba mbili. Wafuatao ni baadhi ya wanadada ‘hot’ wanaokutana kupitia kazi mbalimbali za sanaa ambao pesa zinawatoa akili na wako tayari kufanya lolote lile ili kupiga mkwanja

    No comments:

    3500K