• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, January 8, 2014

    ZITTO NJIA PANDA


    Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.(Picha na GPL)
    MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameuweka njia panda uanachama wake ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kukubali pingamizi lake la kuizuia Kamati Kuu (CC) ya chama hicho isimjadili hadi kesi yake ya msingi itakapokuwa imesikilizwa.
    Kwa uamuzi huo, Zitto sasa atabaki kuwa mwanachama kwa nguvu ya mahakama hadi hapo itakapoamriwa vinginevyo.
    Sasa Zitto ataungana na wabunge wenzake wawili, David Kafulila wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi) na Hamad Rashid Mohammed wa Wawi (CUF) ambao pia ubunge wao upo kwa nguvu ya mahakama.
    Zitto alifungua kesi…

    No comments:

    3500K