• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, November 29, 2013

    Nani kamkosea Chidi Benz? Tweet zake zaacha utata

    Hakuna tena kitu kizuri kwa Chidi Benz siku hizi. Kwa muda mrefu rapper huyo ambaye hivi karibuni ametokea kukubalika sana nchini Kenya (thanks kwa mashavu anayopewa na Nonini) ameonekana kutoa yake ya rohoni yanayomuumiza kupitia Twitter. *Yeye na Wakazi kuna tatizo?* Picha lilianza , baada ya Wakazi kutweet: Na ningependa kusema pia AY, Dimpoz, Ally Kiba, FidQ, Shaa, Cpwaa, Black Rhino, Remi Ongala, Profesa Jay & Lady Jaydee ni other Local heros! Baada ya kuona ujumbe huo wa Wakazi, Chidi alimuuliza kishari ‘nini?’ Wakazi alichuna.

    No comments:

    3500K