• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, October 29, 2013

    NEWSSS:::TAZAMA PICHA JINSI WANAINCHI WA MBEYA WALIVYOBEBA MBOLEA NA KUKIMBIA NAYO BAADA YA GARI KUANGUKA.

    Gari lenye namba T319BCU upande wa nyuma na Kichwa namba T885 CBS aina ya Roli likiwa limepinduka Mbolea ikiwa imemwagika Gari lenye namba T319BCU upande wa nyuma na Kichwa namba T885 CBS aina ya Roli upande wa mbele baada ya kupata ajali Wakazi Mbalimbali wakiwa wanashuhudia ajali hiyo Hii ndio Mbolea ambayo wananchi wameondoka nayo yote Hili ni eneo Jirani na ajali ilipo tokea Mabaki ya Mbolea hiyo. Picha zote na Mbeya yetu

    No comments:

    3500K