• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, October 17, 2013

    Huyu ndio mmoja kati ya wasanii wanne wa nje watakaodondoka kwenye Fiesta 2013

    Clouds Media leo hii wamethibitisha kuwaleta wasanii zaidi ya watatu kutoka nje ya Tanzania (International artist), na leo hii wamethibitisha kudondoka kwa msanii kutoka
    Nigeria Davido anaefanya poa sana Africa na single kadhaa kali, ikiwemo Gobe.

    No comments:

    3500K