• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Saturday, January 26, 2013

    KUHUSU LULU WA KANUMBA HII NDIO MPYA



    Jana  kulikua na stori kwamba uwezekano wa mwigizaji Lulu kuachiwa kwa dhamana january 25 2013 ulikuepo.

    Ni kweli ilikua iwe hivyo lakini kwa taarifa  zilizotolewa kwa  ni kwamba dhamana hiyo imeshindikana kutolewa leo.

    Sababu kubwa ni leo kuwa sikukuu hivyo shughuli imesogezwa mbele mpaka jumatatu january 28 2013.

    Mwanzoni Lulu ambae anatuhumiwa katika kesi ya mauaji bila kukusudia ilidaiwa kuwa alikua anatakiwa apate dhamana ambapo milioni 20 zilihitajika (kwa mujibu wa taarifa za ndani) ila ikashindika sababu jaji alipata udhuru.

    Lulu amekua chini ya ulinzi toka kifo cha mwigizaji staa wa movie Tanzania Steven Kanumba April 2012

    No comments:

    3500K