• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, December 21, 2012

    Tazama Picha za Hukumu ya Lema Akirudishiwa Ubunge Na Mahakama Ya Rufaa

    na DJ SEK BLOG

     Lema,Mbowe na nassari mahakamani
     Mawakili wakiwa kwenye viti vyao
     Hawa ndiyo waliokuwa wamefungua kesi dhidi ya lema
     Mahakamani,lissu,nassari,mwenyekiti mbowe na kilewo wakiteta na mke wa lema
     Lema akianza kutoa hotuba fupi baada ya kutoka mahakamani.kulia ni joshua nassari
     Vitalisi kimomogoro,wakili wa lema.huyu ndiye amekuwa na kesi hii tangu kuanza
     Tundu lisu,mtetezi wa lema.aliingia baada ya kesi kufika mahakama ya rufaa.ameshangiliwa sana

     Askari wakisindikiza msafara wa wafuasi wa CHADEMA
     hapa lema akiwa na kilewo wakati wa maandamano ya kutoka mahakamani kuelekea makao makuu ya chadema


    Hukumu imeangalia haswa swala la Locus Stand ya kama waliofungua kesi walikuwa na haki kisheria ya kufanya hivyo.imeangaliwa kwa kina na kuonekana kuwa kadiri ya pingamizi ya mawakili wa lema kimomogoro na Tundu Lissu,waliofungua shitaka dhidi ya lema hawakuwa na locus stand ya kufanya hivyo.kwa hiyo mengine yote yanakuwa null and void.hukumu haikuchukua hata nusu saa.so lema ni mbunge halali wa arusha mjini tangia leo

    No comments:

    3500K