• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Monday, December 24, 2012

    Q CHIEF AOMBA MSAMAHA KWA WOTE ALIOWAKOSEA AJA NA KITU KIPYA


    Q Chief na produza wake wa sasa Mswaki
    Msanii mwenye takribani miaka 10 kwenye muziki wa Bongofleva Q Chief amesema kuwa anaomba msamaha kwa wale aliowakosea.Q Chief alikiri kufanya makosa ikiwemo matumizi ya madawa ya kulevya wakati akihojiwa kwenye kipindi cha Powerjams nakusema kuwa hivi sasa ni mtu mwingine na yote ilikuwa ni mitihani ya maisha.Msanii huyo alisema hivi sasa pia yuko kwenye uongozi mpya na pia amerudi kwa staili nyingine ambayo anaamini kuwa itamfikisha mbali nje ya Tanzania....SIKILIZA wimbo huo mpya ambao amefanya kwa staili tofauti kabsaa

    No comments:

    3500K