• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, December 5, 2012

    MSHINDI WA MAISHA PLUS AKABIDHIWA KITITA CHAKE



    * * *Meneja wa Benki ya NMB, Tawi la Makao Makuu, Benadicta Byabato (kushoto) akimkabidhi mshindi wa Maisha Plus Seasons 3 Bernick Kimiro kitita cha Shilingi Milioni 20 baada ya kuibuka mshindi katika shindano lililomalizika juma lililolipita jijini Dar es Salaam.* ** *Bernick Kimiro akifungua akaunti NMB leo huku kaka yake Abdulazizi Abasi (kushoto aliyesimama) na ofisa wa benki hiyo wakifuatilia kwa makini* ** *Mtoto Amarisa Sevuri akiwa ameshika kitita cha Bernick Kimiro na Rachel Ndauka ambaye ni rafiki yake na Bernick Kimiro*

    No comments:

    3500K