• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, December 12, 2012

    MAGAZETI YA BONGO YAMEZUA BALAA BAADA YA KUANDIKA STORY YA TYSON


    Kupitia katika vyombo vya habari nchini hususan magazeti leo vimeamka na vinjwa vya habari tofauti kuhusiana na taarifa iliyoenea duniani kwamba mchezaji wa ndondi maarufu kama Mike Tyson amefanyiwa upasuaji na kubadili sehemu zake za siri.Hiyo habari ambayo imesambaa katika magazeti mbalimbali ya hapa bongo.Huku watu wengi wakijiuliza kuhusiana na hii habari.

    No comments:

    3500K