• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, December 19, 2012

    ILE SIKU YA MWIZI NI AROBAINI NDIYO HII HAPA


    Jina kamili anaitwa Rama Jangiri ambaye anahusika na uwizi wa vifaa vya magaria hapa jijini Dar es Salaam kama Side mirror,power window na vitu vingine tu,sasa mtuhumiwa huyu alikamatwa katika hotel ya Farway kwa kutumia mtandano wa compyuta na hatimaye wanausalama wamefanikiwa kumkamata na hii ni moja kati ya video ambayo wananchi wamemkamata huku wana hasira naye.

    No comments:

    3500K