• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Saturday, December 8, 2012

    HII NDIO VIDEO YA MAKAMUA AMBAYO ALIDANGANYA KAIMBA NA AKON


    Kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM Decemba 7 2012 R’n'B star wa bongo Makamua aliongea ukweli kwamba mwaka huu uongo mkubwa alioufanya ni kudanganya kwamba single yake ya ‘bado kujuana’ amemshirikisha Super star Akon.

    Alisema huo uongo wakati bado video haijatoka ila ukweli ni kwamba hajamshirikisha Akon bali ni Mtanzania anaitwa Eddo ambae kidogo ana sauti kama ya Akon, hii video hapa chini ndio ya hiyo single na huyo Eddo yuko ndani pia, itazame alafu uniambie umeipokeaje mtu wangu.

    No comments:

    3500K