• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, December 6, 2012

    ALICHOKIANDIKA NONINI KUHUSU PRODUZA P FUNK MAJANI NA PICHA YA MAJANI AMBAYO NONINI AMEIWEKA KWENYE WALL YAKE



    Hiyo ni picha ambayo msanii kutoka Kenya Nonini ambaye pia ni mtangazaji alitupia kwenye Wall yake asubuhi,akaambatanisha na ujumbe huuu: *

    "Producer na mmiliki wa Bongo Records, P.Funk 'Majani',Hakuna msani wa Bongo hajafanya kazi na P- funk pande ya hip hop….Kutoka Kina Proffesor,FidQ,Ngwea na Jaymoe Kimya Kimya....(Huyu ni Daktari Musyoka Wao)

    No comments:

    3500K