• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Monday, November 26, 2012

    USIKU WA BONGE LA BWANA: SHILOLE AMWAGA RADHI,BIKINI NJENJE,FEROOZ APATA JIMAMA....

    picha hizi zote zinatoka diamond webite

    Petit Man & Shadee waliliongoza Red Carpet....
    Makomando
    Shetta akiingia kwenye Red Carpet

    Akizitambulisha T-shert zake aina tofautitofauti...






    Akiitambulisha Website yake...
    www.shettamusic.com
    Nicheck Bbm kumbe Mbulula...
    H.K Akifanya yake sasa
    Mtoto Mzuri Shilole akiwa amekamatiliwa kisawasawa na mmoja ya Shabiki wake...
    Mmmh! Wakubwa wanafaidi sana LOL!

    Chezea Shilole weyee!
    Mnenguaji wa Shilole akifanya vitu vyake...
    Suma Mnazaleti...
    Young D
    Stereo
    Nyandu Tozi
    Pasha
    Makomando
    Tym ya Kibega sasa...
    Mmoja ya Mwanadada aliyeshindwa kuvumilia na kujitosa kwa Ferooz
    wakati akiperform wimbo wa Ndege Tunduni...
    Nay wa Mitego
    Zimepanda anamwaga Radhi....LOL!

    Msanii mpya toka Tht
    No Comment
    Team Shetta

    Shetta akiwakonga nyoyo Mashabiki wake kwenye usiku wa Bonge la Bwana











    Diamond Ashinda tunzo ya Msanii Bora wa kiume 2012 Nzumari Awards Kenya

    Nikitoa shukrani kwa mashabiki wangu kwa kuniwezesha kutwaa
    Tunzo hiyo baada ya kupokea

     
     
    Hapa nikifurahishwa na kustaajabu  jinsi wanamombasa walivyoiitikia na kuishangilia
    Nataka Kulewa nilipojaribu kuiimba Chorous......

    Nikifanya interview na KTN moja TV Station kubwa sana Kenya, baada ya kupokea tunzo
    Nikiwa na Mh Suleiman Shahbal Governor mtarajiwa wa nchini Kenya


    Huyu ndio Best Presenter of the year, Mzazi William Tuva toka Citizen Tv an Radio Kenya...
    moja ya Mapresenter ambao wanaunyanyua sana mziki wa bongo flavor Africa
     
    Na mwanangu "Kigeugeu" Jaguar....
    naye ni mmoja ya wasanii ambao walipokea tunzo kwenye ghafla hiyo
    Mnh! Moze iyobo tena..... ni kujiongeza tu
    Hapa nikiwa na mwanangu Wello toka Kagomaz,
    moja ya kundi la muziki mahiri nchini Kenya wenye makazi yao Malindi na Nairobi...
    Pia hivi sasa ni Assistant Director wa kampuni ya Next Level iliyo chini ya Adam juma...

    mnh! kunambi tena.....
    Brian Zungu toka I-View Media akiwa na Jaguar
    Redcarpetin kulikua hivi sasa

    No comments:

    3500K