• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, November 27, 2012

    Hii ndio sauti uliyonithibitishia jana usiku kuwa Sharo Milionea hatunaye tena Duniani...


    Dah! kiukweli nimesikitishwa sana na tarifa hizi....mwanzoni nilipoanza kupokea msg na simu toka kwa watu mbalimbali nikajua labda ni kamchezo tu watu wameshaanza kuzusha kama kawaida yao dah! kumbe nikweli ndugu yetu ametutangulia mbele ya haki... akizungumza na Clouds Media RPC mkoa wa tanga alithibitisha kwa kusema kua Sharo Milionea alipata ajali leo majira ya saa mbili usiku maeneo ya Maguzuni songa karibu na wilaya ya Muheza akiwa anaelekea tanga kumuona Mama yake na gari aina ya Toyota Harrier yenye namba za usajili T478 BVR.. aliendelea kusema kuwa  gari hiyo ilitoka nje ya barabara na kupinduka na kusababisha kifo cha msanii huyo papohapo...aliiambia clouds media kuwa taarifa zaidi hazikuweza kupatikana kwakua msanii huyo alikuwa yuko pekeyake kwenye gari.. na kumalizia kuwa mwili wake umehifadhiwa katika Hospitali ya Teule wilayani Muheza....
    MSIKILIZE HAPA KAMANDA WA POLISI TANGA AKIONGEA KUHUSU KIFO CHA SHARO MILIONEA by Filex Mmari wa Leo Media

    No comments:

    3500K