• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, November 22, 2012

    RIHANA AENDA KWENYE LAUNCH ALBUM YAKE MPYA NA NGUO KAMA YA KULALIA



    Ngoma yake ya Daimond ambayo imo kwenye album yake mpya iko nafasi ya kwanza kwenye chart za Billiboard lakini Rihana aka Riri amewashangaza watu na kivazi alichoenda nacho kwenye kutangaza rasmi kuhusu album yake mpya 'Unpologetic'.Riri alitokelezea na kivazi hicho ambacho kofia hiyo ni ya kulalia na nguo nayo ni kama yakulalia. Watu wanauliza kuwa alivaa hiyo nguo gizani au aliamka akawa amechoka akaaona uvivu akaamua kutinga hivyo hivyo?Labda yawezekana ana uchovu wa Tour ya 777 aliyomaliza ambako alizunguka nchi 7 za Ulaya nakufanya shoo 7 ndani ya siku 7

    No comments:

    3500K