• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, November 21, 2012

    NI KWELI SHILOLE ATAKUWA KAOLEWA NA MO RACKA?


    Hiyo ni picha ambayo jana Shilole alikuwa ameiweka kwenye dp yake akiwa amebebwa na msanii mwenzake Mo Racka, ikiambatana na maneno haya, "Mlisema siolewi sasa nimeolewa".Zaidi pia Msanii mwingine Ngwair aliweka picha kama hiyo nakuandika 'Wedding',.Kuna watu wengine kwenye bbm waliweka picha hiyo nakumpongeza Shilole kwa kuolewa.
    Moja kwa moja nikamuuliza mamii vipi umeolewa kimya kimya akanambia kweli nimeolewa kimya kimya kwasababu mjini wezi wengi.Lakini mida flani kabla ya hizo picha Mo Racka aliandika kwenye twitter  hivi...
    napita kwa wife, nachukuwa chakula then naenda kwenye video ya shilole yap
    Navyohisi itakuwa ni videoo na kama ni ndoa basi itajulikana.

    No comments:

    3500K