• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, November 23, 2012

    Lord Eyez Atinga Bongo Recods Kutoa Wimbo Baada ya Kuachiwa Kwa Dhamana



    Baada ya misuko suko ya hapa na  pale na hatimae kurudi uraiani, msanii kutoka A city Lord eyes, anaonekana kurudi na kuitengeneza upya image yake kwa kudondosha ngoma kwa kasi, kwa fans and friends.Lord ameonekana katika studio za Bongo Recordsakiwa na majani na msanii Damian akirekod pini.

    No comments:

    3500K