• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Sunday, October 14, 2012

    HIVI NDIVYO AKINA DROGBA, YAYA TOURE NA WENZAO WALIVYONUSURIKA KUPIGWA NA MASHABIKI WA SENEGAL


    Yaya Toure akiongoza msafara wa wachezaji wenzie waliokuwa wakisindikizwa na polisi kutoka nje ya uwanja baada ya mashabiki wa Senegal kuvamia uwanja baada ya kukasirishwa na maamuzi ya refa kuwapa penati Ivory Coast iliyofungwa na Didier Drgba.

    Mawe, vyupa na silaha nyngine zilikuwa zimetawala katika uwanja

    Mashabiki wa Senegal wakiwa wameisha moto jukwaani

    Kolo Toure akijikinga nyuma ya polisi akisindikizwa kutoka nje ya uwanja

    Didier Drogba nae akijikinga nyuma ya polisi baada ya mashabiki kuingia uwanjani.

    No comments:

    3500K