• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Sunday, October 14, 2012

    ABDU KIBA SOON KUTOA NGOMA MPYA "DUNIA MAPITO"


    Abdu kiba ni msanii wa kizazi kipya ambaye anakuja kwa kasi sana hapa Tzee hata nje ya Tzee.Tunafahamu kwamba msanii huyu ana ngoma nzuri kadhaa ambazo zinafanya vizuri mpaka mashabiki wa Bongo Fleva wanakubali sana kazi zake.Sasa basi habari ambayo tumeipata kutoka kwa msanii huyu ni kwamba soon anatarajia kuachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la Dunia Mapito ambayo amemshirikisha kaka yake Ally Kiba.Baada ya kuweka wazi kwamba amefanya collabo na Ally kiba alieleza sababu zilizomfanya mpaka afanye collabo na kaka yake alisema kwamba Ally Kiba japokuwa ni kaka yake alifunguka na kusema Ally kiba anajiamini katika suala la muziki na ndiyo maana ameamua kumshirikisha katika ngoma hiyo mpya.Hayo ndiyo maneno ya Abdu Kiba baada ya kufunguka kuhusiana na ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Dunia Mapito.kaa tayari kwa ngoma hiyo mpya ambayo imefanywa na mtu mzima Abdu Kiba pamoja na kaka yake Ally kiba daaah !!!!!!! sasa hapa ndipo tutajua je nani mwenye zile....ladha kali za RNB mimi sio kama ninaleta ushindani Samahani lakini.

    No comments:

    3500K