• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Sunday, September 2, 2012

    TANZANIA FOOTBALL NEWS: YANGA YAINYUKA 2-0 COASTAL UNION


    MABINGWA kombe la Kagame Yanga  wameitandika Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa kujipima nguvu uliopigwa katika dimba la Taifa jijini Dar es Salaam.
    Katika mchezo huo, Coastal ndiyo ilianza kufunga kupitia kwa Razak Khalfan, kabla ya Salim Aziz wa Coastal kujifunga na Said Bahanuzi kuiandikia Yanga la pili.

    No comments:

    3500K