• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, September 5, 2012

    FUNDI SAMWEL AENDA SWEDEN

     

    Producer Fundi Samwel
    Producer Fundi samwel akiwa usanii record akifanya kazi na msanii picha hii ni kabla ajaondoka nchini Tanzania kwenda kwao nchini swiden.

    Producer kutoka studio inayofahamika kwa jina la usanii record namzungumzia Fundi Samwel.Habari tuliyoipata ni kwamba producer huyu ameenda nchini kwao sweden sababu alizosema ni kwamba ame miss sana familia yake pamoja na watu wake pia ana michakato ya kuunganisha wasanii wa kule na wa huku ili wafanya kazi kwa pamoja.Fundi samwel akuishia tu hapo kwani alisema kwamba anajua kwamba ameacha project kibao za wasanii hapa Bongo land kwa hiyo atakacho kuwa anafanya producer huyo ni kwamba atakuwa anatumia mtandao wa internet kwa kutuma beat huku bongo land Tanzania halafu wasanii  wa  hapa bongo wanaifanyia kazi.Baada ya hapo Tulimuuliza Je unachukua muda gani kukaa huko swiden.Kwa mujibu wa Producer Fundi samwel alivyosema kwamba atokaa sana nchini kwao swiden hatakikisha kati ya mwezi wa October atakuwa amesharudi hapa Tanzania kuendelea na kazi yake ya muziki.Hayo ndiyo maneno ya producer Fundi Samwel kutoka Usanii record alifunguka na kuongea hivyo baada ya kwenda nchini kwao Sweden.
      chanzo dj fetty.blogspot

    No comments:

    3500K