• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Friday, September 7, 2012

    BAGHDAD APIGWWA STOP!


    Pray god kweka almaarufu kama Baghdad amesimamishwa kwa kipindi kisichojulikana kufanya baadhi ya mambo. Kauli hii imetoka kwenye management ambayo inamshikilia msanii huyo ambae hivi karibuni9 tuu tulisikia amepata shavu la kuwa chini ya studio kubwa nchini marekani chofacho rec amezuiliwa kufanya show, collabo,intaview,movie,N.k na kupangiwa rasmi ratiba yake ya kila siku italkayomfanya yeye kufanya kazi iliyokusudiwa na mangment. 
    Daudi lucas alieleza ya kuwa Baghdad ametumiwa ratiba ndefu saana ya kurecord nyimbo zake ukiangalia anatakiwa atunge ngoma kuanzia 5 mpaka 12 kwa kipindi hichi kifupi video zaidi ya tatu kabla mwaka huu haujaisha, na kama unavyojua aliwahi kuuguwa ugonjwa wa kisukari mazoezi anayotakiwa ni mazito saana na jaaana tuuu tulikuwa dragon kwa ajili ya kumtafutia pumzi kwa njia ya kuogelea na kumbe cha kushangaza alikuwa hajui hata kuogelea sooo tunajitahidi kukimbizana na muda na kuziba baadhi ya mapungufu ya Baghdad na hata choka nadhani unakumbuka siku niliomleta kuja kushot pamoja we can alikuwa hawezi kutembea vizuri kwa sasa amebakiza asilkimia chache saana ili kurudi mwendo wake wa zamani sooo tukagundua tunahitajika kumuweka mbali na club, show, colabo, hata intaview ili asifikirie kitu kingine zaidi ya kujiandaaa kwa kuwa intanational artist” baada ya kuyasema hayo niuliamua kumuuliza vipi kuhusu vipindi vyake vya tv? Daudi lucas “ratiba tuliyompa huwa anapata masaa 8 ya kupumzika 4 ya kufanya kazi na sikku za week end huwa tumempa ruhusa ya kuchukua usafiri na kwenda kutembea na girlfriend wake nay eye alituomba ya kuwa ana vipindi vyake anavyohitaji kuvishoot well tulimuelewa kwa kuwa tunapenda afanikiwae na we happy all the tym tukamwambia apange sikui atakayokuwa anashoot kisha atuambie nini anahitaji we will do it for him sooo ni yeye kutumia muda wake wa ziada badala ya kuutumia saana kuwa na mwenzi wake anaweza kujiiba kwa muda hata wa siku moja kati ya 2 tulizompa kuwa free tangu asubuhi mapka jioni na kizuri kutoka kwa mpenzi wake sio mbish anamulewa saaana 
    Baghdad na anapenda kumsikiliza so hilo halitakuwa na matatizo nadhani na haliingiliani kabisa na utaratibnu wake wa ki mziki” niliomba kuwa wa mwisho kumuhioji Baghdad na nilipewa ruhusa ya kumuhoji na naamini mimi ndie nitakuwa wa mwisho kumuhoji kwa sasa nilimuuliza Baghdad anaonaje kuwa under mangment. baghdad“ unajua ilikuwa ni ngumu saana mi kuwa na management ingawa nyingi tuu ziliwahi kunihitaji ila nilichokuwa nakikataa huku hakipo, so najisikia poa sana kuwa chini ya management. 2. 
    Umepokeaje kali ya kusimamishwa kufanya baadhi ya vitu “ mwanzo niliona wananizogoa ila uwezi amini kwa sasa najiona mpya kwa kuwa sina stress yoyote zaidi ya kutunga tuuuu! 3. Una lolote kwa kuwa hatutaongea tena kwa muda usiojulikana “ daaa watu wangu wasinie,lewe vibaya watangazaji watakaoniita kwenye intaview nikikataa wasinbielewe vibaya, wadau wa mziki nia ya kufanya hivi ni kuandaa kitu kizurio so nawaombeni kwa lolote msiache kuniambia na mimi nitalifikisha kwenye mangment yangu page yangu ya mwanzo fb imejaa so wanicheki kwenye pag mpya Baghdad pg wasiweke kweka waniambie lolote ila kwa intaview, collabo wapige kwenye 0716 89 00 85 wataongea na management.  Stop……………. Kufanya intaviews, colabo, shows, movie, hata kunaniliu na naniliu wake nayo stoooop Baghdad ekheee nakutakia ,mafunzo mema ya kuogelea ukishajua niambie tushindane!

    No comments:

    3500K