• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, August 22, 2012

    KABLA YA NDOA MSHIKAJI AGUNDUA DEMU WAKE ANASAGANA (LESBIANISM))



    Mshikaji anaeishi huko Lagos  Nigeria alimtembelea demu wake katika chuo kimoja (University) huko South – West lakini alichokuatana nacho hakuamini. Demu wake huyo alikua akijihusisha na kusagana (Lesbianism) akiwa Chuoni , Habari kutoka chanzo kimoja kinasema msichana huyo anatoka familia inayojiweza sana na baba yake ni Mkurugenzi Mkuu wa Federal Civil Service. 
    Demu na mshikaji wameshavalishana ndoa wanasubiri harusi tu lakini kwa sasa mvulana hana nia ya kuendelea na mipango ya harusi yao, Pia hajui afanyaje kwa sababu msichana huyo anamuomba msamaha na asikishe kwenye familia yake, Mshikaji anasema alikua serious sana katika mapenzi yao kabla ya tukio hilo.

    No comments:

    3500K