• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, August 14, 2012

    LINEX KUOKOKA?


    siku chache zilizipita, msanii Linex aliwaacha na alama ya kujiuliza baada ya kudondoka na mistari yenye uelekeo wa  kidini sana tofauti ya kawaida yake, na kuwaacha mashabiki wake wakihoji kama ndio ameamua kumfata Qj (kuokoka) ama anatarajia kudondosha pini la Gospal.

    No comments:

    3500K