• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Thursday, August 30, 2012

    EXCLUSIVE SHETA APATA MTOTO WA KIKE


    msanii anayetamba na kibao cha nidanganye  danganye yeye na  mkewe wamefanikiwa kupata mtoto wa kike jana katika hospital ya St. monica ambayo ipo maeneo ya tip top manzese katika nyakati za jioni.tulimuliza Je shetta mtoto wako ungependa kumpa jina gani shetta alifunguka kama ifuatavyo kusema kweli nitampa jina la kyla kwasababu toka mke wangu anajauzito wangu nilimwambia kama tukifanikiwa kupata mtoto wa kike basi tutampa jina la Kyla.Na ndiyo maana nimempa jina ilo pia napenda kutoa shukrani kwa mwenyezi mungu kunipatia mtoto na ndio wasaa wangu wa kuitwa Baba wa familia.hayo ndiyo maneno ya shetta baada ya kupata mtoto.

    No comments:

    3500K