• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Wednesday, August 29, 2012

    EXCLUSIVE: HII NDIO PETE YA UCHUMBA ALIYOVISHWA MWIGIZAJI AUNT EZEKIEL!


    Huu ni mkono wa Aunt Ezekiel na hiyo ndio pete aliyovishwa na mchumba wake Dubai.
    Aunt Ezekiel kwenye nterview na Millard Ayo.
    Stori kamili ni kwamba bado mpaka sasa movie star wa Tanzania Aunt Ezekiel hajaolewa ila pete ya uchumba tayari ameshavalishwa kwenye party iliyofanyika huko Dubai, ndoa ni mwezi november na itafanyika hukohuko Dubai.
    Aunt amesema aliemvisha pete ya uchumba sio mwigizaji wala mtu maarufu wa Tanzania kwa sababu huwa hapendi kuwa kwenye mapenzi na staa, mumewe mtarajiwa ni Sunday Demonte…. na anauhakika huyu wa sasa atakua tofauti na mwanaume aliekua nae 2008/2009 aliekua anampiga na kumnyanyasa kila siku.
    Aunt amesema ndoa yake itakayofungwa Dubai itahudhuriwa na watu 100 tu, amezungumza pia mengine kuhusu kubadili dini na kufata dini ya mume, kuhamia Dubai pamoja na ishu nyingine…. utaendelea kupata info nyingine hapahapa millardayo.com pamoja na kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM.

    No comments:

    3500K