• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Tuesday, July 3, 2012

    NEW HIT; FID Q - SIHITAJI MARAFIKI. AND CHECK LYIRICS




    My Photos by
    DOWNLOAD HERE; FID Q - SIHITAJI MARAFIKI

    Machizi sikusoma nao, tulikutana tu mtaani/ udogoni sikucheza nao lakini ndo machizi wa ukubwani X2/


    haijalishi ulikua na wangapi bali wangapi uko nao..washkaji ambao... kosa lako lao wakati hauna mafao/wanaokufikiria wewe muda ambao/ wenzao walionao wanafikiria wengine ndo wanao/now
    kupata washkaji ukiwa na pesa... ni rahisi/
    kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi mie sikufichi sihitaji urafiki na usupastaa/ukihit ndo unang'aa.. upishwe useat kwenye bar,upewe beat na Jr../ kitu ambacho haikuwa rahisi kipindi fid  ni underground/sikuhizi mabinti wanaomiss ni walionidiss mie sio mdau/
    wanakubali mie ni mkali wanataka  kuijua Mmwanza
    ninayoitangaza nikiwa safari kama habari za kwanza/
    U-N-I-T na prof Ludi walionifunza kukaza...
    kwetu mbali.. sijui lini nitarudi? (C) Lokua kanza/
    sihitaji marafiki, labda baadaye wakitokea/aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea


    Verse 2;
    na usupastaa huwa ni feki.. utakung'arisha ukiwa na Market/
    utakupatia senti,utapita juu ya red carpet/
    utageuka young & restless, utakupa wanawake/utakupa mafake brethrenz.. kisha utaenda zake/kwahiyo power its not permanent.. huwa ipo kwa muda tu/respect ur own conglomorete... fikiri kikubwa tu/masaa hayarudi nyuma kama muda wa kufuturu walioukataa utumwa wanastuka hawana uhuru/
    wanazusha najiskia.. so im my own best friend/
    sikia fidq anamsifia fareed ni bandidu sio Yes man/
    naweza nikakata ringi kiasi cha kutopay attention, lakini sio tajiri wakuafford kuua true friendship/
    tuweke siasa kando sababu kichwa kinanigonga/na hizi falsafa double double ajabu sio kinywa cha mjomba/
    sihitaji marafiki, labda baadaye wakitokea/aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea



    VERSE 3
    rafiki wa kweli yukoje.. ni mkimya au anayechonga/yule aliyekupa jina?au pengine anayekuponda? anayezuia usidondoke au  anayesubiria kukuokota?/au ni yule ambaye ukimuudhi anakutusi kabla hajaondoka?/ hakuna adui mbaya ka rafiki yako mwenyewe ambaye hajui.. ka yupo nawe.. au yupo kinyume na wewe/bora adui.. kama hachachawi utaenda muomba akuelewe/
    ka buibui.. naweka tandu mtaenda kando mzingue?/
    kwani machizi wenyewe wako wapi ambao wanastahiki niwape vyeo/ inabidi tu uwaache wakuwatch kwenye kideo/unakula nao happy leo.. kesho wanamtaka mkeo/urafiki sitaki.. hauletagi maendeleo../
    nilitamani kuwa mjamaa niwe genge kama nature/
    wachache niliowafanya wakang'aa wanayaweka maisha yangu in danger/
    sihitaji marafiki, labda baadaye wakitokea/aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea  CHECK FID Q IN MY SPACE

    No comments:

    3500K