• Breaking News

    Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

    It's more about music industry and social issues in and out of bongo land

    Saturday, July 7, 2012

    FFU watoa Salam za heri za "SABA SABA"


    Ngoma Africa Band yatoa
    SALAMU ZA HERI YA "SABA SABA" KWA WATANZANIA
    Bendi ya Muziki wa dansi "Ngoma Africa band" aka FFU yenye makao
    yake kule ujerumani inatoa salamu za heri "Saba Saba " kwa watanzania
    wote walio ndani na nje ya nchi,bendi hiyo inaipongeza uongozi wa nchi
    pamoja na watanzania kwa kuendeleza mila ya kuudumisha sherehe za
    "Saba Saba" ambazo pia zinawapa nafasi watanzania kuonyesha na
    kushiriki katika maonyesho ya biashara ya bidhaa zinazozalishwa viwandani,
    mashambani,na huduma ya jamii.
    Mungu Ibariki Tanzania !
    Mungu Ibariki Afrika !

    Tufurahie Saba Saba kwa 
    kupata raha ya "Supu ya Mawe" kutoka kwa Kikosi kazi Ngoma Africa aka FFU.
    unaweza kusikiliza pia at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com

    No comments:

    3500K